Radio MTV News
Mei 17, 2024
07:00 Jioni
Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Congo Yaadhimisha Leo Injuma Mei,17 Mwaka Wa Elfu Mbili Na Ishirini Na Nne Miaka 27 Tangu Raïs Laurent Kabila Na Majeshi Wake Kumuondoa Madarakani Kwa Nguvu Mobutu Seseseko Wa Zabanga
Mei 16, 2024
07:00 Jioni
Mugogoro wa ardhi kati ya wa mbole na wa lengola mutaani lubumba huko Kisangani, hu ongeza idadi ya Watu ku fariki na wengi ku kimbiya makao yao ya kawaida.
Mei 14, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya congo kupitia waiziri anae tetea haki za binaadamu kutoka serikali ya taifa Albert Fabrice Puela yatangaza mazishi ya watu thelathini walio uwawa na M23 katika kambi za wakimbizi Mjini Goma.
Mei 14, 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Mei 15, 2024
07:00 Asubui
AFAJIRI
Mei ,14 2024
07:00 mpókwa
Mbulamatadi esalami kaka te na ekolo Congo democratiki sanza mineyi sima ya boponami ya mama Judith Suminwa Tuluka
Mei 14, 2024
07:00 Jioni
Wasiwasi watanda katika jimbo la Kivu Kusini, DRC, baada ya watu 18 kuuawa na watu wanaodhaniwa kuwa waasi wa ADF
Mei 14, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya congo kupitia waiziri anae tetea haki za binaadamu kutoka serikali ya taifa Albert Fabrice Puela yatangaza mazishi ya watu thelathini walio uwawa na M23 katika kambi za wakimbizi Mjini Goma.
Mei 14, 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Mei 14, 2024
07:00 Asubui
Rais Biden ametoa amri ya kuzuia kampuni ya madini ya Cryptocurrenvy inayoungwa mkono na China kumiliki ardhi huko Wyoming.
Mei ,13 2024
07:00 mpókwa
Kagame awangani kopesa maboko na Red-Tabara ya Burundi
Mei 13, 2024
07:00 Jioni
Burundi na Rwanda zaingia katika mvutano baada ya shambulizi la Bujumbura.
Mei 09, 2024
07:00 Jioni
Hatua ya Raïs Wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Na chama chake cha UPDS yaku badili Katiba ya nchini ime zusha maoni tafauti miongoni mwa wananchi. Baadhi yao wakiupinga Na wengine wakiomba rais kujiusisha Na swala la usalama kuliko Kuwa changanya vichwa wananchi.
Mei 10, 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Mei 10, 2024
07:00 Asubui
Mazungumzo ya amani na maridhiano ya Sudan Kusini yaanza mjini Nairobi, kenya
Mei ,09 2024
07:00 mpókwa
Monusco epesi bilenge mpe societe civili mateya mpo na kimya na Nord-Kivu
Mei 09, 2024
07:00 Jioni
Umoja wa Ulaya kimsingi umeridhia makubaliano ambayo yatatumia mapato kutoka kwa mali za Russia zilizozuiwa kusambaza silaha kwa Ukraine.
Mei 09, 2024
07:00 Jioni
Watu zaidi ya 8 wauawa Katika shambulio jipya la watu wenye silaha Wanao dhaniwa kua Wa Kundi lakigaidi la ADF Katika Kijiji cha MANTUMBI Magharibi mwa mji mdogo Wa OICHA takribani kilometa 45 Na Mji Wa BENI KIVU KASKAZINI.
Mei 09, 2024
03:30 Mchana
Kijana mkimbizi kutoka kambi ya Kakuma nchini Kenya anaelezea maisha ya vijana katika kambi za wakimbizi
Mei 09, 2024
07:00 Asubui
ALFAJIRI
Mei ,08 2024
07:00 mpókwa
Nkwokoso ya kozwa esansi ezali kotungisa na engumba Kinshasa mpe RDC
Mei 08, 2024
07:00 Jioni
Madaktari nchini Kenya wamesitisha mgomo wao ambao umedumu kwa takribani siku 56.
Mei 08, 2024
07:00 Jioni
DRC UPDF na FARDC yaapa kuendelea na ushirikiano wa kijeshi dhidi Ya ADF wilayani Beni Kivu kaskazini mashariki mwa DRC.
Mei 08, 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Mei 08, 2024
07:00 Asubui
Mafuriko nchini Burundi yasababisha uharibifu mkubwa wa mali
Mei ,07 2024
07:00 mpókwa
USA epameli Rwanda na ba bombes eye ebomi bato pene na Goma kasi Kigali ewangani
Mei 07, 2024
07:00 Jioni
Wachunguzi wa Ukraine wanasema walizima mpango wa mawakala wa Russia wa kumuua Rais Volodymyr Zelenskyy.
Mei 07, 2024
07:00 Jioni
DRC UPDF na FARDC yaapa kuendelea na ushirikiano wa kijeshi dhidi Ya ADF wilayani Beni Kivu kaskazini mashariki mwa DRC.
Mei 07, 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Mei 07, 2024
07:00 Asubui
White House yatathmini njia za kutoa hadhi ya muda na vibali kwa wahamiaji wanaoishi kinyume cha sheria
Mei ,07 2024
07:00 mpókwa
USA epameli Rwanda na ba bombes eye ebomi bato pene na Goma kasi Kigali ewangani
Mei 06, 2024
07:00 Jioni
Mataifa ya Afrika mashariki yameamua kushirikiana katika ujenzi wa reli ya mwendo kasi SGR ili kuimarisha uchumi na uchukuzi wa nchi hizo.
Mei 06, 2024
07:00 Jioni
Mitiani ya kitaifa amehanza ramsi hii jumatatu usubui ya tarere sita Mei pote inchini DRC. Hapa mjini Goma na katika tarafa la Nyiragongo hasa kwa wanafunzi wakimbizi wa vita shughuli hio ina endeshwa kama kawaida.
Mei 06, 2024
03:30 Mchana
Vijana Miraji na Khadija wana maoni mseto kuhusu ndoa za kutafutiwa na zile ambazo vijana wanajitafutia wao wenyewe.
Mei 06, 2024
07:00 Asubui
Idadi ya watu waliopoteza maisha DRC kufuatia shambulizi lililolenga kambi ya wakimbizi wa ndani yaongezeka.
Mei ,06 2024
07:00 mpókwa
shisekedi akati mobembo mwa ye na Poto mpo na ba bombes eye ebomi bato pene na Goma
Mei 06, 2024
07:00 Jioni
Israel yafunga matangazo ya Al Jazeera
Mei 03, 2024
07:00 Jioni
Wanahabari DRC waomba serikali kuunga mkono juhudi na mikakati ya uhuru wa vyombo vya habari hasa kivu Kaskazini ambako kume shuhudiwa vita vya kilasiku.wame sema hayo hii tarehe tatu mai siku kuu kimataifa ya uhuru wa vyombo vya habari.
Mei 03, 2024
03:30 Mchana
Shule kuendelea kufungwa Kenya kutokana na mafuriko
Mei 03, 2024
07:00 Asubui
Trump aahidi akichaguliwa atarejesha marufuku ya kusafiri kwa baadhi ya nchi zenye waislamu wengi
Mei ,03 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
Mei 03, 2024
07:00 Jioni
Serekali ya DRC yamuagiza gavana wa Ituri kuwafurusha na kuwarudisha kwao raia wote wa China wanaochimba migodi kinyume cha sheria
Mei 02, 2024
07:00 Jioni
Wakaazi wa vijiji mbali mbali wilayani Masisi waomba serikali kuwajibika kurejesha usalama wa wananchi wanao endelea kukimbia vita vya M23 .
Mei 02, 2024
03:30 Mchana
Changamoto ya vijana kutaka kuingia kwenye sekta ya burudani kama njia ya kujiajiri
Mei 02, 2024
07:00 Asubui
Mafuriko yasababisha vifo vya watu 181 nchini Kenya
Mei ,02 2024
07:00 mpókwa
Rubaya, mboka ya coltan ezwami na M23
Mei 02, 2024
07:00 Jioni
Rwanda inasema imebuni ajira milioni 1,300,000 miaka mitano iliyopita
Mei 01, 2024
07:00 Jioni
Ulimwengu uki adhimisha Siku kuu ya wafanya kazi,vijana wengi wapitia changamoto ya ukosefu Wa kazi nchini DRC.wananchi Wa kongo waalikwa kujitegemea kikazi kwa maendeleo ya nchini.
Mei 01, 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Mei 01, 2024
07:00 Asubui
Uingereza yatuma mtafuta hifadhi wake wa kwanza nchini Rwanda
Mei ,01 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
Mei 01, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya Kenya yawaagiza raia wanaoishi katika maeneo yanayokabiliwa na mafuriko kuondoka ndani ya saa 48
Aprili 30, 2024
07:00 Jioni
SHUGLI ZA UOKOAJI BADO ZINAENDELEA BAADA YA ZAIDI YA VIJIJI VINNE KUFUNIKWA NA TOPE KUFUATIA MVUA INAYOENDELEA. TAKRIBAN WATU 50 WAMEFARIKI HUKU WENGINE WAKIWA HAWAJULIKANI WALIKO.
Aprili,30 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Aprili 30, 2024
07:00 Asubui
Watu zaidi 70 wafariki Kenya baada ya bwawa kuvunja kingo huku mafuriko yakiendelea kuzua taharuki
Aprili,30 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
Aprili 30, 2024
07:00 Jioni
Darzeni ya watu wamefariki nchini Kenya baada ya bwawa kupasuka katika kaunti ya Nakuru kutokana na mvua kubwa zinazonyesha nchini humo.
Aprili 29, 2024
07:00 Jioni
Mkuu Wa mahakama nchini DRC akosoa kasisi Wa dini la KIKATOLIKI mjini KINSHASA kwa uvumi, uchochozi wa hali ya vita nchini DRC.
Aprili,29 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Aprili 29, 2024
07:00 Asubui
Alfajiri
Aprili,29 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
Aprili 29, 2024
07:00 Jioni
Qatar inawasihi Israel na Hamas kuonyesha kujitolea na umakini mkubwa katika mashauriano ya kusitisha mapigano huko Gaza.
Aprili 26, 2024
07:00 Jioni
Tanzania ikiadhimisha miaka 60 ya Muungano WA Tanganyika na Zanzibar wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia na kuepuka matumizi ya kuni yanayopelekea uchafuzi wamazingira.
Aprili,26 2024
03:30 Mchana
VOA Express
Aprili 26, 2024
07:00 Asubui
Serikali ya Kenya yaanza juhudi mahsusi zikijumuisha idara na mashairika kadhaa kukabiliana na athari za mvua kubwa zinazoendelea
Aprili,26 2024
07:00 mpókwa
Ba avocats ya RDC bafundi Apple kosomba makele na Rwanda na Mayuya
Aprili 26, 2024
07:00 Jioni
jioni
Aprili 25, 2024
07:00 Jioni
VIKOSI VYA JESHI LA KENYA LEO VIMEANDAA MAOMBI KWA AJILI YA KUWAKUMBUKA MAAFISA 10 WALIOFARIKI KUTOKANA NA AJALI YA NDEGE ALHAMISI, NA KUMUUA MKUU WA MAJESHI WA KENYA NA MAAFISA WENGINE.
Aprili,25 2024
03:30 Mchana
Edwik anaeleza mafunzo aliyopata ya kuwalinda watoto wakati wa majanga katika warsha iliyoandaliwa na Raising Up Friendship ya Tanzania.
Aprili 25, 2024
07:00 Asubui
Amnesty International yazisuta Zimbabwe, DRC na Ethiopia kwa rekodi mbaya ya haki za binadamu
Aprili,25 2024
07:00 mpókwa
Mibu mwambe wuta liwa lya Papa Wemba
Aprili 25, 2024
07:00 Jioni
jioni
Aprili 24, 2024
07:00 Jioni
Tafauti Na mawazo yanayo zagaa kwenye mitandao Yaki Jamii duniani, dini lakiislamu ni fini linalo tafuautiana Na makundi yakigaidi Katika ulimwengu. Matamshi hayo niya Sheikh SAADI NGONDA mmoja Wa makasisi ya dini yakiislamu Katika Mji Wa BENI
Aprili,24 2024
03:30 Mchana
Edwik anaeleza mafunzo aliyopata ya kuwalinda watoto wakati wa majanga katika warsha iliyoandaliwa na Raising Up Friendship ya Tanzania.
Aprili 24, 2024
07:00 Asubui
Benki ya Dunia yasitisha ufadhili wa mradi wa utalii na uhifadhi nchini Tanzania
Aprili,24 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
Aprili 24, 2024
07:00 Jioni
jioni
Aprili 23, 2024
07:00 Jioni
Zaidi ya watoto wakike laki 2 na elf 31 wenye umri wa kati ya miaka 10 -14 wanatarajia kufikiwa na kupatiwa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kigoma.
Aprili,23 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 23, 2024
07:00 Asubui
Historia yaandikwa baada ya Donald Trump kuwa rais wa zamani kusimama kizimbani
Aprili,23 2024
07:00 mpókwa
Mangomba ya ba Maï Maï bazali kobunda na Butembo
Aprili 23, 2024
07:00 Jioni
jioni
Aprili 22, 2024
07:00 Jioni
Mvua kubwa inayonyesha na mafuriko yamesababisha vifo vya takriban watu 32 na wengine 40,265 kupoteza makazi nchini Kenya. Kwa mujibu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA), watu 15 wamejeruhiwa kote nchini.
Aprili,22 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 22, 2024
07:00 Asubui
Hoja za ufunguzi zatarajiwa kusikilizwa katika kesi inayomkabili Donald Trump New York
Aprili,21 2024
07:00 mpókwa
Bemba azali kolandela misala mya mampinga na Ituri
Aprili 21, 2024
07:00 Jioni
Mamia ya watu waliandamana nchini Niger kupinga uwepo wa wanajeshi wa Marekani katika eneo linalotawaliwa na jeshi la Niger.
Aprili 19, 2024
07:00 Jioni
Viongozi Wa Mataifa Ya Afrika Mashariki Wanaendelea Kutuma Ujumbe Wao Wa Heri Baada Ya Kifo Cha Mkuu Wa Majeshi Ya Kenya Generali Francis Ogola. Mkuu Huyo Wa Jeshi La Kenya, Alifariki Jana Alhamisi Baada Ya Ndege Aliyokuwa Ndani Kuanguka Na Kuchimeka Kwa Moto
Aprili 18, 2024
07:00 Jioni
DRC BENI Wanasiasa wote kutoka Beni na Butembo waombwa kurudi nyumbani Beni na kutafakari kuhusu mauaji inayo tekelezwa na watu wanao dhaniwa kuwa ADF.
Aprili,18 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 18, 2024
07:00 Asubui
Uhaba mkubwa wa petroli washuhudiwa visiwani Zanzibar
Aprili,17 2024
07:00 mpókwa
Basoda ba FARDC batiami na ndelo na Sudan ya Sud mpe Uganda bakebisami konyokola bacivili
Aprili,17 2024
07:00 Jioni
Mahakama ya Katiba ya Uganda yakataa kubatilisha sheria kali iliopitishwa na bunge dhidi ya wapenzi wa jinsia moja.
Aprili 17, 2024
07:00 Jioni
Vijana wa Lucha walio kuwa wakiandamana kupinga uongozi wa mea wa Mji wa Goma wakamatwa na polisi Mjini Goma. Vijana hao wakipinga ukosefu wa usalama unao kita mizizi kwa sasa.
Aprili 17, 2024
07:00 Asubui
Alfajiri
Aprili,16 2024
07:00 mpókwa
Na Beni misala mitikisami lelo mpo na bozangi bokengi
Aprili,16 2024
07:00 Jioni
Madaktari wa Kenya wameapa kuendelea na mgomo wao hadi pale serikali itakapotimiza matakwa yao.
Aprili 16, 2024
07:00 Jioni
Wakaazi Wa BENI KIVU KASKAZINI wakumbwa Na hasira kutokana Na mauaji ambayo yame kisiri Katika Mji Wa BENI Na wilaya zake ambako Katika wiki moja zaidi ya watu 40 wameuawa Na watu wanao dhaniwa kuwa magaidi Wa ADF.
Aprili,16 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 16, 2024
07:00 Asubui
Alfajiri
Aprili,15 2024
07:00 mpókwa
Ba officiers baike ya mampinga mpe pulusu bakangami mpo na koteka mboka (Gén. Tshiwewe)
Aprili,15 2024
07:00 Jioni
Wachambuzi wasema kuwa uchaguzi wa Senegal huenda ukabadili mwelekeo wa kisiasa wa kieneo.
Aprili 15, 2024
07:00 Jioni
Mashriki Ya Kiraia Kutoka Wilaya Ya Nyiragongo,Rutshuru Na Masisi Yaomba Wanajeshi Wote Kuondoka Katika Mji Wa Goma Na Kwenda Kwenye Uwanja Wa Mapigano.
Aprili,15 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 15, 2024
07:00 Asubui
Trump anaelekea mahakamani akiwa rais wa kwanza aliyetoka madarakani kukabiliwa na mashtaka ya jinai
Aprili 12, 2024
07:00 Jioni
Gavana Wa Kivu kaskazini meja jenerali PETER CIRIMWAMI aongoza kikao cha dharura Katika malengo yaku shughulikia kwa haraka swala la usalama Katika Mji Wa GOMA baada ya zaidi watu Saba kuawawa Na watu wenye silaha.
Aprili,12 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 12, 2024
07:00 Asubui
Kwa nini kifo cha OJ Simpson kimeibua mjadala kuhusu mahusiano ya rangi Marekani?
Aprili,11 2024
07:00 mpókwa
Bakima bitumba bazali na bwale mpe baike bazali na tuberculose na Kwamouth
Aprili,11 2024
07:00 Jioni
JIONI
Aprili 11, 2024
07:00 Jioni
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kesho Ijumaa anatarajia kuwaongoza watanzania katika kumbukizi ya miaka 40 ya kifo cha Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Hayati Edward Moringe Sokoine.
Aprili,11 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 11, 2024
07:00 Asubui
Mashirika 160 yamwandikia Biden kutaka DRC ijumuishwe kwenye mpango wa hadhi maalum kwa sababu za ukosefu wa usalama
Aprili,10 2024
07:00 mpókwa
Zacharie Bababaswe atatoli na liwa ya alanga nzembo Lucie Kunda
Aprili,10 2024
07:00 Jioni
Kipindi maalum cha salaam za Eid kutoka studio za VOA, Washington
Aprili 10, 2024
07:00 Jioni
Ulimwengu wa kiislamu unasherekea hii tarehe kumi April siku kuu ya idilfitri siku hii inasherekewa baada ya fungo ya mwezi moja katika mwezi mu tukufu wa ramadhani.
Aprili,10 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 10, 2024
07:00 Asubui
Kikosi cha Kichina cha Monusco chaondoka DRC baada ya maika 21
Aprili,08 2024
07:00 mpókwa
Basoda ya Chine ya Monusco balongwe na RDC
Aprili,09 2024
07:00 Jioni
JIONI
Aprili 09, 2024
07:00 Jioni
Wanajeshi wanne kutoka Ujumbe wa SADC katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (SAMIDRC) wamefariki Dunia mashariki mwa DRC .wakiwemo tatu kutoka Tanzania na mmoja kutoka Africa kusini .
Aprili,09 2024
03:30 Mchana
Wasikilizaji wazungmzia namna mwezi mtukufu wa Ramadan ilivyokuwa mwaka huu, na matarajio yao baada ya kufungua.
Aprili 09, 2024
07:00 Asubui
Kauli ya Netanyahu kuhusu operesheni ya ardhini Rafah yazua mashaka kwa waptanishi mjini Cairo
Aprili,08 2024
07:00 mpókwa
Basoda basato ya Tanzanie mpe moko ya Afrika ya Ngele bakufi na bitumba ya ba M23
Aprili,08 2024
07:00 Jioni
Wafanyabiashara nchini Uganda wameandamana kupinga ongezeko la kodi na sera ya kodi isiyo ya haki katika nakala za fedha za kielektronik
Aprili 08, 2024
07:00 Jioni
Wakimbizi wa ndani nchini DRC wa lalamikia ku ibwa kwa vitu vyao na watu wenye kumiliki silaha kinyume cha sheria.
Aprili,08 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 08, 2024
07:00 Asubui
Maswali yaendelea kuulizwa miaka 30 baada ya mauaji ya kimbari kufanyika Rwanda
Aprili,05 2024
07:00 mpókwa
Moto moko akufi na bombe ekweyi na Mubambiro
Aprili,05 2024
07:00 Jioni
JIONI
Aprili 05, 2024
07:00 Jioni
Wakimbizi wanao patikana katika kambi mbali mbali pembezoni mwa Mji wa Goma waomba serikali kuondoa wanajeshi na wazalendo Pamoja na watu wote wanao miliki silaha katika kambi zao
Aprili 04, 2024
07:00 Asubui
Israel yafungua njia zaidi za misaada kwa Wapalestina muda mfupi baada ya mazungumzo ya simu kati ya Biden na Netanyahu
Aprili,04 2024
07:00 mpókwa
Moto moko akufi na bombe ekweyi na Mubambiro
Aprili,04 2024
07:00 Jioni
JIONI
Aprili,04 2024
07:00 Jioni
DRC RUTSHURU: MAPIGANO MAKALI KATI YA M23 NA WAPIGANAJI WAZLENDO KARIBU NA KIBIRIZI WILAYANI RUTSHURU KIVU KASKAZINI MASHARIKI MWA CONGO.
Aprili,04 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 03, 2024
07:00 Asubui
Zimbabwe yaomba msaada wa dola bilioni 2 kukabiliana na uhaba wa chakula
Aprili,03 2024
07:00 mpókwa
Olive Lembe asengi bakima bitumba basambela mpo na bozongi ya Kabila na bokonzi Partager
Aprili,03 2024
07:00 Jioni
JIONI
Aprili,03 2024
07:00 Jioni
watu wa wili wafariki Dunia na wengine kujeruhiwa wakati wa shambulizi la watu wenye silaha wanao dhaniwa kuwa maia mai,miongoni mwa walio fariki Dunia Raia mmoja wa chine na nmkaazi wa mahali.
Aprili,03 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 03, 2024
07:00 Asubui
Rais mpya wa Senegal Faye amteua mshirika wake Ousmane Sonko kama waziri mkuu
Aprili,02 2024
07:00 mpókwa
Mindenge miye mizali kozela PM ya sika Judith Suminwa Tuluka
Aprili,02 2024
07:00 Jioni
Dunia inaadhimisha siku ya Usonji au Autism huku wazazi wanaoishi na watoto wenye tatizo hilo wanaelezea changamoto zilizopo katika matibabu
Aprili,02 2024
07:00 Jioni
Rais Félix Tchisekedi amuteuwa Judith Tuluka Suminwa kuwa Waziri Mkuu mupya wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo kwa muhula wake wa pili
Aprili,02 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Aprili 02, 2024
07:00 Asubui
Wanajeshi wa Afrika Kusini waliopelekwa DRC walalamika kuwa hawana vifaa vya kutosha
Aprili,01 2024
07:00 mpókwa
Judith Suminwa Tuluka Ministre wa Yambo ya mwasi na RDC
Aprili,01 2024
07:00 Jioni
JIONI
Aprili,01 2024
07:00 Jioni
jeshi la Congo la Ombwa Ku ongeza juhudi ili Ku Linda Raia na Ku zuiya shambulizi zinazo endeshwa na wapiganaji wa ADF Katika maeneo Kadhaa ya mkoa wa ITURI mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo
Aprili,01 2024
03:30 Mchana
Afisa wa maandalizi ya mashindano ya magari ya Safari Rally yaliomalizika nchini Kenya azungmzia zoezi hilo.
Aprili 01, 2024
07:00 Asubui
Makazi ya waziri mkuu wa Libya yashambuliwa kwa guruneti
March 29, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
March 29, 2024
07:00 Jioni
Mazungumzo ya Live Talk kuhusu Ijumaa kuu pamoja na wikiendi ya Pasaka kwa ujumla.
Machi 29, 2024
07:00 Jioni
MAMLAKA NCHINI KENYA IMEANZA KUACHILIA MIILI YA WAHANGA WA MKASA WA SHAKAHOLA KWA FAMILIA KWA AJILI YA KUWAZIKA.
March 29, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
March 29, 2024
07:00 Asubui
Jumuiya ya SADC 'yasikitishwa' na hatua ya Rwanda kupinga ufadhili wa ujumbe wa kulinda amani DRC
March 28, 2024
07:00 mpókwa
Ba Wazalendo bafundami kokotisa bana bake na molongo na bango na Beni
March 28, 2024
07:00 Jioni
Mamlaka ya Palestina imetangaza kuundwa kwa baraza jipya la mawaziri wakati ikikabiliwa na shinikizo la kimataifa la kufanya mageuzi
Machi 28, 2024
07:00 Jioni
UFARANSA YA TANGAZA KURIDHISHWA NA MPANGO WA SEREKALI YA JAMHURI YAKIDEMOKRASIA YA KONGO WAKU TOKOMEZA WAASI WA FDLR.
March 28, 2024
03:30 Mchana
Mkutano wa Japan wa vijana wasisitiza umuhimu wa kulinda mazingira pamoja na kusitishwa kwa utumizi wa silaha za kemikali.
March 28, 2024
07:00 Asubui
Mili ya watu wawili yaopolewa karibu na daraja lililobomolewa na meli Baltimore
March 27, 2024
07:00 mpókwa
Koleka bato basato bakufi na ba bombes na Sake
March 27, 2024
07:00 Jioni
Uingereza kutoa pauni 3,000 kwa wahamiaji watakaojitolea kupelekwa Rwanda kwa hiari.
Machi 27, 2024
07:00 Jioni
WAASI WA ADF,WATISHIA KU SHAMBULIA MAKANISA MJINI BENI WAKATI WA KRISTU WAADHIMISHA SIKU KUU YA PASAKA.
March 27, 2024
03:30 Mchana
Taasisi isiyo ya kiserikali ya Swahilipot Hub ya Mombasa huko Kenya na namna inavyotumia Kiswahili kuwahamasisha vijana katika utalii.
March 27, 2024
07:00 Asubui
Marekani: Mamlaka za Baltimore zasitisha shughuli za kutafuta manusura wa ajali ya meli
March 26, 2024
07:00 mpókwa
Bato sambo bazali komonana te nsima na masuwa moko kotuta pont na Baltimore
March 26, 2024
07:00 Jioni
Kanuni mpya ya uchaguzi nchini Sudan Kusini inakosolewa vikali na vyama vya upinzani nchini humo
Machi 26, 2024
07:00 Jioni
Watu zaidi ya kumi wamefariki na wengine arubaini na saba wa jeruliwa katika ajali ya gari ilio fanyika jumatatu machi ishirini na tano katika mji mdogo wa KIRUMBA wilayani LUBERO.
March 26, 2024
03:30 Mchana
Taasisi ya AGRA inaeleza mkakati wake wa kuhamasisha vijana wa Afrika mashariki kwenye ukuzaji wa kilimo
March 26, 2024
07:00 Asubui
Senegal: Bassirou Faye aahidi wananchi kwamba ataongoza kwa unyeyekevu na uwazi
Machi 25, 2024
07:00 Jioni
Waasi wa Uganda wa ADF (Allied Democratic Forces) wanaendelea kuhusika katika mauaji ya raia wasio na hatia katika mji na wilaya ya Beni, jimbo la Kivu Kaskazini. Jumamosi Machi 23, magaidi hawa wali wateketeza kwa visu raia tisa katika vitongoji vya Sayo na Matembo, katika manucipa Mulekera jijini Beni.
March 25, 2024
03:30 Mchana
Uvutaji Shisha miongoni mwa vijana Afrika mashariki unaongeza wasiwasi wa afya ya vijana kama ugonjwa wa saratani; anasema Collins Lugongo
March 25, 2024
07:00 Asubui
Kura zaendela kuhesbiwa Senegal huku wafuasi wa mgombea kwa tikiti ya upinzani wakishangilia "ushindi" mitaani
March 22, 2024
07:00 mpókwa
VIH/Sida emati nzinga nzinga na Goma epayi bakima bitumba bazali koteka nzoto mpe kozwama na makasi
March 22, 2024
07:00 Jioni
Mjadala waangazia vyama vya upinzani, changamoto na utekelezaji wa majukumu yao katika Afrika Mashariki
Machi 22, 2024
07:00 Jioni
Leo ulimwengu washerekea siku ya maji maji ikiwa Maisha kwa wanadamu na viumbe vyote Duniani,ikiwemo mimea ,Wanyama na wanadamu wote .siku hii imefika watika dunia inashuhudia joto kali katika mataifa mengi ya Africa kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa.
March 22, 2024
03:30 Mchana
Siku ya Kimataifa ya Maji yasherehekewa kwa Kauli Mbiu- Maji kwa ajili ya Amani.
March 22, 2024
07:00 Asubui
DRC, nchi yenye maji mengi na misitu mikubwa lakini raia bado wanakabiliwa na uhaba wa maji
March 21, 2024
07:00 mpókwa
sango ya mokili lelo
March 21, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Machi 21, 2024
07:00 Jioni
Hali ya wasiwasi yaendelea kuonekana huko RUTSHURU katika usultani wa Bwito hii inapelea waasi wa m23 kuita raia ku jiunga nao ili wa pate maisha mazuri
March 21, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
March 21, 2024
07:00 Asubui
Miji mikubwa ya DRC inakabiliwa na joto kali ambalo halijawahi kushuhudiwa
March 20, 2024
07:00 mpókwa
Chérubin Okende atiami na lilita
March 20, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Machi 20, 2024
07:00 Jioni
WANAFUNZI 11 WA CHUO KIKUU CHA KENYATTA WAMEFARIKI NA WENGINE 21 KUJERUHIWA VIBAYA BAADA YA BASI LAO LA CHUO LILIPOGONGANA NA LORI KWENYE BARABARA KUU YA NAIROBI-MOMBASA.
March 20, 2024
03:30 Mchana
Leo ni Siku ya Kimataifa ya Furaha inayokwenda kwa kauli mbiu; Kujenga Dunia ya Furaha Pamoja.
March 20, 2024
07:00 Asubui
Madereva wa mabasi nchini Kenya kufanya tena mtihani wa kuendesha gari
March 19, 2024
07:00 mpókwa
Ba Wazalendo baike bazali kopesa maboko na M23 na Lubero
March 19, 2024
07:00 Jioni
Rais Ruto wa Kenya ametia saini mswada wenye utata unaoiwezesha serikali kukusanya kodi ya nyumba ya asilimia 1.5 ya mshahara wa mfanyakazi.
Machi 19, 2024
07:00 Jioni
Gavana wa Kivu Kaskazini Meja Generali PETER CIRIMWAMI Aaapa kuendelea na ujenzi Pamoja na miradi ya maendeleo kwa ajili ya kuwapa ajira Vijana kwanza Pamoja na Kambuni za Congo lakini hata hivyo kutumikisha kazi za wananchi kwa maendeleo ya miji yao .
March 19, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
March 19, 2024
07:00 Asubui
DRC na China zaingia makubaliano ya uwekezaji wa dola bilioni 7 kwenye sekta ya miundombinu
March 18, 2024
07:00 mpókwa
Basoda mwambe ya Monusco bazoki na bitumba bizongeli na Masisi
March 18, 2024
07:00 Jioni
Madktari na maafisa wa wizara ya afya washauriana kuhusu hatua za kusitishwa kwa mgomo wa kitaifa unaoendelea.
Machi 18, 2024
07:00 Jioni
DRC WATU WATATU WAUWA KWA MAPANGA KATIKA KIJIJI CHA MUNDU BIENA KATIKA MJI WA BENI.
March 18, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
March 15, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya mokili lelo
March 15, 2024
07:00 Jioni
Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed yupo Kenya kwa ziara ya kiserikali inayolenga kuimarisha ushirikiano baina ya nchi ya Ethiopia na Kenya
Machi 15, 2024
07:00 Jioni
Wakimbizi katika kambi mbali pembezoni mwa mji wa Goma Kivu kaskazini waomba serikali kuwarudisha nyumbani kwao kwa haraka kwani wamechoka sasa na hali ya ukimbizi
Machi 14, 2024
07:00 Jioni
WAKENYA WATALAZIMIKA KUTAFUTA HUDUMA ZA MATIBABU KATIKA HOSPITALI ZA KIBINAFSI, BAADA YA MUUNGANO WA MADAKTARI KUTANGAZA KUANZA KWA MGOMO WA KITAIFA KUANZIA USIKU WA LEO MACHI 13, 2024.
March 13, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya mokili lelo
March 13, 2024
07:00 Jioni
Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed yupo Kenya kwa ziara ya kiserikali inayolenga kuimarisha ushirikiano baina ya nchi ya Ethiopia na Kenya
March 13, 2024
07:00 Jioni
Wakimbizi kutoka wilaya za RUTSHURU Na MASISI wapitia hali duni yakiutu Katika Mji mdogo wa KIRUMBA baada yaku furutishwa Na vita inayo endelea hadi sasa Kati ya jeshi tiifu kwa serekali ya DRC Na Waasi wa M23 wakiungwa mkono Na jeshi la RWANDA RDF.
March 13, 2024
03:30 Mchana
Nini kinachopelekea matatizo ya ubakaji mashuleni na kwenye jamii tunazoishi yanaelezewa na Hilda Ngaja wa Raising Up Friendship Foundation
March 13, 2024
07:00 Asubui
Mchakato wa Kenya kutuma polisi Haiti wasitishwa hadi uongozi wa kisiasa uimarike
March 12, 2024
07:00 mpókwa
JC Bukasa atiami bo' mopesi toli ya lokumu ya Tshisekedi mpo na mwa ntango
March 12, 2024
07:00 Jioni
Wizara ya fedha Marekani imewawekea vikwazo watu 16 na taasisi katika pembe ya Afrika na Mashariki ya Kati
March 12, 2024
07:00 Jioni
JUMUIA YA AFRIKA MASHARIKI INAUNGA MKONO JUHUDI ZA ZAKUTAFUTA AMANI KATIKA MATAIFA YOTE WANACHAMA
March 12, 2024
03:30 Mchana
Voa express
March 12, 2024
07:00 Asubui
Marekani yasema yawekea vikwazo mtandao mpana wa taasisi, makampuni na watu binafsi, inaosema unafadhili wanamgambo wa al-Shabaab
March 11, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
March 11, 2024
07:00 Jioni
Wananchi wa DRC wanaiomba serikali nchini humo kusitisha suala la miradi ya maendeleo na kujikita katika usalama huko mashariki mwa Congo
March 11, 2024
07:00 Jioni
SERIKALI YA KENYA IMETOA MSAADA WA VYAKULA KWA JAMII ZISIZOJIWEZA ZA DINI YA KIISLAMU,, WAKATI WANAPOANZA MFUNGO WA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN.
March 11, 2024
03:30 Mchana
Filamu ya Bobi Wine ya The People's President haikupata ushindi wa Tuzo za 96 za Oscars lakini amejijengea hatua nzuri kwa siku zijazo
March 11, 2024
07:00 Asubui
Waislamu kuanza mfungo wa Ramadhan Jumatatu
March 08, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
March 08, 2024
07:00 Jioni
JIONI
March 08, 2024
07:00 Jioni
ulimwengu kuadhimisha Siku kuu ya mwana mke duniani,huko wanawake wa Mji wa KISANGANI wakiandamana kushutumu hali duni wanayo pitia wanawake wa mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
March 08, 2024
03:30 Mchana
Wanawake DRC waeleza changamoto zao katika vita
March 08, 2024
07:00 Asubui
Rais Joe Biden asifu mafanikio ya utawala wake miezi michache kabla ya uchaguzi wa rais
March 07, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
March 07, 2024
07:00 Jioni
Ripoti rasmi ya Kenya inaeleza takribani watoto 190 waliangamia katika msitu wa Shakahola kutokana na mateso na ukatili wa kunymwa chakula.
March 07, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali yaendelea ku ripotiwa huko Kibirizi wilayani Rutchuru na huko Uvira kivu Kusini kati ya jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23.
March 07, 2024
03:30 Mchana
Voa express
March 07, 2024
07:00 Asubui
Wamiliki wa shule binafsi nchini Tanzania walalamikia kodi kubwa
March 06, 2024
07:00 mpókwa
Trump na Biden balongi "Super Tuesday" mpe babandi komilengela na kondongwana na "Présidentielle"
March 06, 2024
07:00 Jioni
Wabunge nchini Kenya wameongeza mgao wao wa fedha katika bajeti ya mwaka 2024/2025
March 06, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali yaendelea ku ripotiwa huko Nyanzale wilayani RUTSHURU kati ya jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya Congo na waasi wa M23.
March 06, 2024
03:30 Mchana
Voa express
March 06, 2024
07:00 Asubui
Biden na Trump waongoza bila pingamizi katika uchaguzi wa mchujo, maarufu Super Tuesday
March 05, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo
March 05, 2024
07:00 Jioni
JIONI
March 05, 2024
07:00 Jioni
serikali ya kenya imezindua Mpango mpya wa Kusimamia Mipaka, ili kuimarisha usalama wa taifa.
March 05, 2024
03:30 Mchana
Voa express
March 05, 2024
07:00 Asubui
Marekani ina matumaini kuwa sitisho la mapigano katika vita vya Gaza linaweza kupatikana kabla ya Ramadhani
March 04, 2024
07:00 mpókwa
Sango ya Mokili Lelo: Joseph Kony akobanda kosambisama na sanza zomi na CPI
March 04, 2024
07:00 Jioni
Chama cha madaktari na wauguzi cha Kenya chatoa ilani ya siku 7 kwa serikali, kabla ya kuitisha mgomo wa kitaifa.
March 04, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali yamezuka tangu mapema ya jumatatu leo march 4,2024 Kati ya jeshi la jamhuri ya kidemokrasia ya Congo Na kundi laki gaidi la M23 Katika wilaya ya RUTCHURU Kivu kaskazini.
March 04, 2024
03:30 Mchana
Voa express
Machi 01, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
March 01, 2024
07:00 Jioni
Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya pili Mzee Alhaji Ali Hassan Mwinyi amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu ya maradhi ya Saratani ya mapafu.
March 01, 2024
03:30 Mchana
Teddy Mbaga kijana kutoka Tanzania anasema kifo cha Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi ni pigo kwa vijana alifungua fursa za elimu bora na ajira
March 01, 2024
07:00 Asubui
Afrika Mashariki yamkumbuka Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyeaga dunia Alhamisi
Februari 29, 2024
07:00 mpókwa
Chérubin Okende amibomaki, elobi ba procureurs
Februari 29, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 29, 2024
07:00 Jioni
TANZANIA Mweka hazina Serengeti Mkoani Mara nchini Tanzania akamatwa na kuwekwa ndani baada yakuchukua fedha za serikali nakufanyia matumizi mingineyo.
Februari 29, 2024
03:30 Mchana
Voa express
Februari 29, 2024
07:00 Asubui
Marekani yakosoa vikali mswada unaotoa adhabu kali kwa wapenzi wa jinsia moja Ghana
Februari 28, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 28, 2024
07:00 Jioni
Maandamano ya wanahabari yaendelea kwenye kisiwa cha Mayote , Comoros, kupinga za uhamiaji.
Februari 28, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya Tanzania na Burundi kwa kushirikiana na mashirika ya umoja wa Mataifa yameanza kuchukua hatua za kukomesha wimbi la usafirishaji haramu wa binadamu, hasa kwa Raia wa Burundi wakiwemo watoto ambao hupitishwa mkoani Kigoma kisha kusafirishwa kwenda Mataifa mengine.
Februari 28, 2024
03:30 Mchana
Maoni kuhusu tatizo la kucheleweshwa kwa pasi za kusafiria kwenye ofisi uhamiaji nchini Kenya.
Februari 28, 2024
07:00 Asubui
Watu 31 wafariki katika ajali ya barabarani nchini Mali
Februari 27, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 27, 2024
07:00 Jioni
Mkutano wa Baraza la Mazingira la Umoja wa Mataifa, UNEA, wavutia mamia ya wajumbe mjini Nairobi.
Februari 27, 2024
07:00 Jioni
DRC ,DARADJA MBILI MUHIMU ZA KATIKA UVIRA KIVU KUSINI NAKUPELEKEA UGUMU WA USAFIRISHAJI WA BIDHAA WA WATU .
Februari 27, 2024
03:30 Mchana
Je kuna mikakati inayofanywa kulinda watu dhidi ya manyanyaso ya kimitandao, ambayo yameendelea kushamiri?
Februari 27, 2024
07:00 Asubui
ALFAJIRI
Februari 26, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 26, 2024
07:00 Jioni
Israel inasema jeshi lake limetayarisha mpango wa kuwahamisha wakaazi wa Gaza kabla ya uvamizi unaohofiwa huko Rafah.
Februari 26, 2024
07:00 Jioni
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kusogeza huduma za afya karibu na Wananchi wa wilaya ya kasulu mkoani Kigoma
Februari 26, 2024
03:30 Mchana
Vijana wanahamasishwa kuacha utumiaji wa Shisha ambao unakwamisha malengo yao ya elimu na maisha ya baadae.
Februari 26, 2024
07:00 Asubui
Maoni mseto baada ya ECOWAS kuiondolea vikwazo serikali ya kijeshi ya Niger
Februari 23, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 23, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 23, 2024
07:00 Jioni
Raisi wa Drc ame tangaza niya yaku sitisha mupango wake wa kwanzisha vita na Rwanda ili ku rejesha Amani kwa njia yote iwapo raïs wa RWANDA PAUL KAGAME ata kubali kuondoa majeshi wake katika ardhi ya DRC.
Februari 23, 2024
03:30 Mchana
Mamia ya wakenya pamoja na viongozi mashuhuri wahudhuria mazishi ya mwanariadha Kelvin Kiptum.
Februari 23, 2024
07:00 Asubui
Wapinzani 15 wa Macky Sall wa Senegal wamtaka atangaze uchaguzi wa rais haraka
Februari 22, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 22, 2024
07:00 Jioni
Wanasiasa wa upinzani wa Senegal waanza kampeni zao licha ya kutokuwa na tarehe iliotangazwa ya kufanyika uchaguzi mkuu.
Februari 22, 2024
07:00 Jioni
DRC Baraza la usalama la Umoja wa mataifa ume toa azabu kwa viongozi kadhaa wanao simamia makundi yanayo didimisha Usalama nchini DRC Ikiwemo WILLY NGOMA wa M23.
Februari 22, 2024
03:30 Mchana
Voa Express
Februari 22, 2024
07:00 Asubui
Rais wa Senegal athibitisha kuwa muhula wake utakamilika Aprili 2
Februari 21, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 21, 2024
07:00 Jioni
Wanasiasa wa upinzani wa Senegal waanza kampeni zao licha ya kutokuwa na tarehe iliotangazwa ya kufanyika uchaguzi mkuu.
Februari 21, 2024
07:00 Jioni
Waziri Mkuu Lukonde Same amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa Rais Felix Tshisekedi. Huu Amekuwa mkuu wa serikali tangu Februari 15, 2021.
Februari 21, 2024
03:30 Mchana
Voa Express
Februari 21, 2024
07:00 Asubui
Wauzaji na wakulima wa miraa nchini Uganda walalamikia sheria mpya ya dawa za kulevya
Februari 20, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 20, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 20, 2024
07:00 Jioni
Rais wa Congo Félix tchisekendi akataa mazungumuzo yoyote na M23 Kwenye kikao kilicho endeshwa Huko ADDIS-ABEBA wiki ilio pita, Raia wkivu Kaskazini waomba Ku ongeza juhudi ili Ku wapa kichapo waasi wa M23
Februari 20, 2024
03:30 Mchana
Ulimwengu waadhimisha Siku ya Haki za Kijamii, inayozingatia kuimarishwa kwa hali ya maisha kwa kila mmoja.
Februari 20, 2024
07:00 Asubui
Russia inaweza kuteka miji ya Ukraine ikiwa Marekani itachelewa kutoa msaada wa kijeshi kwa Ukraine-mchambuzi
Februari 19, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 19, 2024
07:00 Jioni
Familia ya ya kiongozi wa upinzani wa Russia aliyekufa yazuiliwa kuuona mwili wake.
Februari 19, 2024
07:00 Jioni
Vijana Waandamana Na Mguu Hadi Mugunga Kuomba Kusapoti Jeshi La Congo Na Wazalendo Na Kuomba Monusco Kuondoka DRC
Februari 16, 2024
07:00 Jioni
Mujini kisangani Vijana wa ma kundi mbali mbali ya ki raiya, wame amuwa ku ji piganiya ki vita zidi ya waasi wa m23 na ma kundi mengine ya ki gaidi kama vile adf kwa ku kaziya Amani na usalama.
Februari 16, 2024
07:00 mpókwa
Baadhi ya vijana wanasema wanachanganywa na wanasiasa wanao hamahama vyama vya siasa
Februari 16, 2024
03:30 Mchana
Baadhi ya vijana wanasema wanachanganywa na wanasiasa wanao hamahama vyama vya siasa
Februari 16, 2024
07:00 Asubui
Wakenya walalamikia kupanda kwa gharama ya maisha licha ya thamani ya sarafu ya nchi hiyo kuimarika
Februari 15, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 15, 2024
07:00 Jioni
Mawaziri wa NATO wakutana Brussels ili kujadili kuhusu uungaji mkono wa Ukraine kwenye vita dhidi ya Russia.
Februari 15, 2024
07:00 Jioni
KENYA IMEPOKEA SHEHANA YA KWANZA YA VIVAA VYA VITA NA ULINZI KUISAIDIA KUKABILIANA NA UGAIDI.
Februari 15, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 14, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 14, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 14, 2024
07:00 Jioni
Vita ya waasi wa M23 vimesababisha ongezeko la watu waliokimbia makazi yao wakiwemo watoto mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) katika kipindi cha wiki mbili zilizopita ya sema ripoti ya shirika lakimataifa UNICEF.
Februari 14, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 13, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 13, 2024
07:00 Jioni
Baraza la Senate la Marekani laidhinisha msaada wa takriban dola 90 kwa Ukraine, Israel na Taiwan.
Februari 13, 2024
07:00 Jioni
Hali ya wasi wasi yaendelea Katika mji mdogo wa SAKÉ Kivu kaskazini baada ya mapigano makali Kati ya jeshi tiifu kwa serekali ya Congo Na waasi wa M23 wanao Pata msaada kutoka RWANDA Na UGANDA.
Februari 13, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 12, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 12, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali yaendelea kushuhudiwa karibu na Goma mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Februari 12, 2024
07:00 Jioni
Mapigano makali ya ripotia tangu asubui ya leo jumatatu tarehe kumi na mbili wilayani Nyiragongo na huko wilayani Masisi kivu kaskazini kati ya M23 na vijana Wazalendo
Februari 12, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 09, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 09, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 09, 2024
07:00 Jioni
IDADI YA WATU WALIOFARIKI BAADA YA KUNYWA POMBE YENYE SUMU KAUNTI YA KIRINYAGA NCHINI KENYA IMEONGEZEKA NA KUFIKIA WATU 13.
Februari 09, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 08, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 08, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 08, 2024
07:00 Jioni
DRC/Nyiragongo. Mapigano makali ya ripotiwa leo alhamisi FEBRUARY 8,2023 kati ya Jeshi la DRC huko KIBUMBA wilayani NYIRAGONGO.
Februari 08, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 07, 2024
07:00 mpókwa
SANGO YA MOKILI LELO
Februari 07, 2024
07:00 Jioni
JIONI
Februari 07, 2024
07:00 Jioni
Tume huru ya uchaguzi CENI nchini DRC ya tangaza Ku hairisha uchaguzi wa ma gavana Na seneti Katika mikoa ya Kivu kaskazini Na ituri ; hatua hii ime vutia hisia tafauti za wana siasa Na Raia wa maeneo.
Februari 07, 2024
03:30 Mchana
Karo za shule changamoto kwa wazazi Uganda
Februari 05, 2024
07:00 mpókwa
Ndenge ba Léopards bazali komilengele na match na ba Eléphants (CAN 2023)
Februari 06, 2024
07:00 Jioni
Mahakama nchini Kenya imemfungulia mashtaka kiongozi wa kundi la kidini anayeshukiwa kusababisha vifo vya watoto takribani 200
Februari 06, 2024
07:00 Jioni
Tume huru ya uchaguzi CENI nchini DRC ya tangaza Ku hairisha uchaguzi wa ma gavana Na seneti Katika mikoa ya Kivu kaskazini Na ituri ; hatua hii ime vutia hisia tafauti za wana siasa Na Raia wa maeneo.
Februari 06, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Februari 05, 2024
07:00 mpókwa
Ndenge ba Léopards bazali komilengele na match na ba Eléphants (CAN 2023)
Februari 05, 2024
07:00 Jioni
Rais wa muda wa Namibia, Nangolo Mbumba anasema hatowania kiti cha urais katika uchaguzi mkuu baadae mwaka huu.
Februari 05, 2024
07:00 Jioni
Tangu kuibuke vita kati ya jeshi la Fardc na waasi wa M23 kivu Kaskazini hali ya maisha yaendelea kuwa mbaya katika mji wa Goma na saké wilayani Masisi.
Februari 05, 2024
03:30 Mchana
Mchambuzi aeleza kuhusu muziki wa Afrika katika tuzo za Grammy
Februari 02, 2024
07:00 Jioni
Watu 3 wamefariki katika ajali ya moto usiku wa kuamkia leo baada ya kituo cha kuuza bidhaa za petroli kushika moto eneo la Embakasi Nairobi. Zaidi ya watu 200 wanauguza majeraha mabaya ya moto
Februari 01, 2024
07:00 Jioni
Burundi yatangaza uwepo wake muhimu wa kijeshi kwenye mpaka na Rwanda
Januari 31, 2024
07:00 Jioni
Sango ya Mokili Lelo
Januari 31, 2024
07:00 Jioni
MATANGAZO YA JIONI
January 31, 2024
07:00 Jioni
DRC/MTV
Watu zaidi ya Nane wa uliwa Na wanao dhaniwa kua ADF kijijini BAETI kaskazini mwa mji mdogo wa oicha wilayani BENI
Januari 31, 2024
03:30 Mchana
VOA EXPRESS
Januari 30, 2024
07:00 Jioni
Sango ya Mokili Lelo
Januari 30, 2024
07:00 Jioni
WHO na serikali ya Kenya leo Jumanne wamezindua mpango wa kukomesha magonjwa ya kitropiki yaliyopuuzwa.
January 30, 2024
07:00 Jioni
Burkina Faso, Mali na Niger zimetangaza kuondoka ECOWAS. serikali ya Mali, inayoongozwa na jeshi, imetuma ujumbe kwa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Afrika Magharibi kama yajiondoa rasmi.
Januari 30, 2024
03:30 Mchana
Mwalimu Jasper wa St.Mary's jijini Nairobi huko Kenya anaelezea mikakati ya kuwasaidia vijana kielimu na kuondokana na ukosefu wa ajira
Januari 29, 2024
07:00 Jioni
Sango ya Mokili Lelo: Sassou na bakonzi basusu ya Afrika bazali na likita na Italie mpo na "Plan Mattei"
Januari 29, 2024
07:00 Jioni
Mawaziri wa Afrika mashariki wanaosimamia Afya wameidhinisha mfumo wa sera wa kikanda unaolenga kukuza ustawi wa uzalishaji dawa
January 29, 2024
07:00 Jioni
DRC/GOMA Shungulu za uchumi na ki jamii hazikuendeshwa kama kawaida Tangu asubui ya leo juma tatu tarehe ishirini na nane January hii ni kufatia mugomo uliotwa na waendesha pikipiki ku pinga hatuya ya meya wa mji wa Goma ku toa amri ya pikipiki kuto tembea kwanzia saa kumi na mbili. Hatua hii ikipingwa hata na wakaazi wa mji wa Goma
Januari 29, 2024
03:30 Mchana
Vijana nchini kenya wakishirikishwa kwenye majadiliano yanayohusu amani na usalama inaweza kupunguza changamoto za unyanyasaji kwa vijana.
Januari 26, 2024
07:00 Jioni
Kongamano La Wakuu Wa Wanajeshi Kutoka Mataifa Yaliyoko Kwenye Eneo La Afrika Mashariki Linaendelea. Kongamano Hilo Lililo Kwenye Awamu Ya 32 Lilifunguliwa Mapema Wiki Hii Jijini Nairobi
Januari 25, 2024
07:00 Jioni
Bitumba na kati ya ba Wazalendo na M23 bibomisi bato koleka zomi na Mweso na Masisi
Januari 25, 2024
07:00 Jioni
Matangazo ya saa nzima kuhusu habari za kutwa, ikiwa ni pamoja ripoti kutoka kwa waandishi wetu sehemu mbali mbali duniani na kote Afrika Mashariki na Kati, na vile vile vipindi na makala maalum kuhusu afya, wanawake, jamii na maendeleo.
Januari 25, 2024
07:00 Jioni
Mashirika ya kiraia Tarafani MOBA mkoa wa Tanganyika kusini Mashariki mwa DRC yanaeleza kwamba kumeibuka kundi jipya la waasi eneo hilo ambalo Lina watandika Raia Marungu,kuwakataza kufanya kazi yoyote hile Na kuwapiga MARUFUKU kula ugali Na Sombe kila Siku ya alakhamisi kijijini KANSABALA.
Januari 25, 2024
03:30 Mchana
Michuano ya AFCON imewashangaza wengi, asema mchambuzi wa soka
Januari 24, 2024
07:00 Jioni
Rais wa zamani Marekani Donald Trump ameshinda uteuzi wa chama huko New Hampshire wakati Nikki Haley akiapa kuendelea na kinyang'anyiro
Januari 24, 2024
07:00 Jioni
Raia 5 wame uawa Kijijini MAVIVI-NGITE usiku wa kuamkia Juma tano ya Januari 24 . Takriban Kilomita 15 kaskazini mwa Jiji la Beni mkowani Kivu kaskazini , duru za kiusalama zime tuhumu waasi wanao zaniwa kuwa ni ADF na washirika wao.
Januari 24, 2024
03:30 Mchana
Kampuni ya madini ya GGML huko Tanzania ambayo huwapatia fursa wanafunzi wa vyuo vikuu kazi za vitendo imefanikiwa kuwapa ajira baadhi yao
loading="lazy"
Januari 23, 2024
07:00 Asubui
Marekani kufanya mkutano wa kimitandao na washirika wake Jumanne kuhusu utoaji wa misaada kwa Ukraine
Januari 22, 2024
07:00 Jioni
Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, ajira, vijana na watu wenye ulemavu Profesa Joyce Ndalichako amesema kuwa Serikali inatambua kuwa chama cha walimu bado kina changamoto ikiwemo walimu ambao ni wananchama kulalamikia kukatwa makato ambayo yanasababisha walimu kuendelea kuishi maisha magumu ambapo ameelekeza chama hicho
Januari 22, 2024
07:00 Asubui
Mvua kubwa Mjini Dar es Saalam zaripotiwa kusababisha uharibifu mkubwa
Januari 18, 2024
07:00 Jioni
Félix Tshisekedi Tshilombo ataapishwa kwa muhula wa pili kuwa raisi wa jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo hii tarehe ishirini January mwaka huu na korti kuu ya mahakama huku maandalizi ya kiwa tayari
Januari 18, 2024
07:00 Asubui
Somalia yakataa kufanya aina yoyote ya mazungumzo na Ethiopia hadi mkatakaba wenye utata uvunjwe
Januari 18, 2024
07:00 Jioni
Baadhi ya Raia kutoka jamhuri ya UGANDA wa shitumu viongozi wa widari la Uhamiaji DGM KASINDI-LUBIRIHA nchini DRC kuto heshimu mpango waku vunza visa kwa wananchi wa jumuhiya ya nchi ya afrika ya mashariki (EAC)
Januari 18, 2024
07:00 Asubui
Umoja wa Mataifa watoa wito kwa vyombo vya usalama vya Comoros kutotumia nguvu vinapopambana na waandamanaji wenye gadhabu
Januari 17, 2024
07:00 Jioni
Baadhi ya Raia kutoka jamhuri ya UGANDA wa shitumu viongozi wa widari la Uhamiaji DGM KASINDI-LUBIRIHA nchini DRC kuto heshimu mpango waku vunza visa kwa wananchi wa jumuhiya ya nchi ya afrika ya mashariki (EAC)
Januari 17, 2024
07:00 Asubui
Hisia mseto baada ya Sudan kusitisha mahusiano na IGAD
Januari 16, 2024
07:00 Jioni
Muungano wa Fardc na Sadec ya tangaza vita dhidi ya makundi yenye silaha na inaomba wakimbizi waliokimbia vijiji vyao kuwa watulivu
Januari 16, 2024
07:00 Asubui
Kura zaendelea kuhesabiwa Iowa huku Trump akirajiwa kushinda uchaguzi wa mchujo wa chama chake kama ilivyobashiriwa na kura za maoni
Januari 15, 2024
07:00 Jioni
Watu Sita Wameuawa Chini ya Muda wa Wiki Moja Kaunti ya Baringo Nchini Kenya Kufuatia Mashambulizi ya Wezi wa Mifugo. Mashambulizi ya Hivi Punde Yamewapelekea Wenyeji Kuingiwa na Hofu ya Usalama, na Kumtaka Rais Kutoa Suluhu la Kudumu kwa Mashambulizi ya Mara kwa Mara
w-id="6093ddc8-eafe-ea51-ef9f-43f2d8f96b51" href="/r/15012024.html" class="podcast-link-block w-inline-block" >
07:00 Asubui
Marekani yaadhimisha sikukuu ya Martin Luther King Jr huku uchaguzi wa awali ukianza Iowa
Januari 12, 2024
07:00 Jioni
Jamhuri ya Burundi ya funga mipaka yake na Rwanda kwa tuhuma,serekali ya KIGALI yaichoma kisu mgongoni kwa kuunga mkono uasi katika eneo lake ili kuiyumbisha
Januari 12, 2024
07:00 Asubui
Maaskofu Kanisa Katoliki wa Afrika na Madagascar wametoa taarifa kupinga tamko la Papa Francis la kuruhusu mapadri kuwabariki mashoga
Januari 11, 2024
07:00 Jioni
Waendesha pikipiki na baadhi ya wananchi wapinga hatua ya meya wa mji wa Goma 'yapiga marufiku utumiaji wa pikipiki kwanza mbili jioni
Januari 11, 2024
07:00 Asubui
Gavana wa zamani wa jimbo la New Jersey nchini Marekani Chris Christie ametangaza kusitisha kampeni za urais kupitia chama cha Republican
Januari 10, 2024
07:00 Jioni
FÉLIX TSHISEKEDI TSHILOMBO ame tangazwa rasmi Na korti kuu ya sheria jijini KINSHASA kua raisi wa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo baada ya matokeo ya muda ilio tangawza Na Tume huru ya uchaguzi nchini
Januari 10, 2024
07:00 Asubui
Wizara ya ulinzi Marekani imekiri kwamba Waziri wa ulinzi Lloyd Austin alitibiwa saratani ya tezi dume na kulazwa hospitali
Januari 09, 2024
07:00 Jioni
Raia wa Congo wame anja kuvuka mipaka ya kuenda UGANDA pasipo kulipa visa. Serekali, mbili ya UGANDA na ya Congo za ahidi ku azibu yeyote atakaye anguka katika kosa la ku omba pesa zinazo husiana na Visa
Januari 09, 2024
07:00 Asubui
Ethiopia imefanya mazungumzo Jumatatu juu ya ushirikiano wa kijeshi na Somaliland
Januari 08, 2024
07:00 Jioni
wananchi wa DRC wa alikwa Ku epuka Na naku kinga mizozo ya baada ya uchaguzi;hii ni moja yapo ya malengo ya ngwarida ya mashika za wanawake Na baadhi ya raia vile Na wa gombea wa ubunge Na mitaa kwenye uchaguzi wa disemba 20,2023 huko BENI mashariki mwa jamhuri ya kidemokrasia ya Congo.
Januari 08, 2024
07:00 Asubui
Tuzo za 81 za Golden Globes zinaendelea California nchini Marekani na Christopher Nolan kaibuka Best Director wa filamu "Oppenheimer".
Januari 05, 2024
07:00 Jioni
Zaidi ya watoto wachanga 600 wamefariki wakati wakuzaliwa Mkoani Kigoma Nchini Tanzania huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wakujifungua katika kipindi cha January hadi Disemba 2023.
Januari 05, 2024
07:00 Jioni
Zaidi ya watoto wachanga 600 wamefariki wakati wakuzaliwa Mkoani Kigoma Nchini Tanzania huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wakujifungua katika kipindi cha January hadi Disemba 2023.
Januari 05, 2024
07:00 Asubui
Rais wa Kenya William Ruto anakabiliwa na ukosoaji kutoka kwa majaji na makundi ya upinzani baada ya kusema hatoheshimu amri za mahakama
Januari 04, 2024
07:00 Jioni
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) inakumbuka tarehe ya kihistoria ya Januari 4, 1959, siku ambayo ghasia zilizuka Jjijini Kinshasa (zamani Léopoldville) katikati ya ukoloni wa Ubelgiji Na wananchi shujaa wa DRC
Januari 04, 2024
07:00 Asubui
Mahakama ya Umoja wa Mataifa kusikiliza shauri la Afrika Kusini kuhusu Israel
Januari 03, 2024
07:00 Jioni
Wafanya biasha wanao uza vyakula na mboga mboga kwenye mpaka wa Rwanda na Congo mjini Goma wa dai ku ishi vizuri na Raia wa Rwanda isipokuwa tu changamoto ndogo ndogo wanazo zipitiya zinazo ambatana na biashara zao
Januari 03, 2024
07:00 Asubui
Marekani imelaani matamshi yenye utata ya mawaziri wawili wa Israel ambao walisema Wapalestina wanapaswa kushawishiwa kuhama kutoka Gaza
Januari 02, 2024
07:00 Jioni
Rwanda:
Paul Kagame Raïs wa RWANDA ahutubia wananchi naku hakikisha usalama wa watu wake
Januari 02, 2024
07:00 Asubui
Ethiopia imefikia makubaliano ya kihistoria ya kutumia bandari kuu katika eneo la Somaliland lililojitenga na Somalia
Januari 01, 2024
07:00 Jioni
Baada ya tume huru ya uchaguzi ku tangaza Félix Tchisekedi kuwa mshindi wa uchaguzi wa tarehe ishirini disemba ilio pita,upinzani waomba uchanguzi ku rejelewa
Januari 01, 2024
07:00 Asubui
Mwanariadha raia wa Uganda, Benjamin Kiplagat amekutwa amekufa akiwa ndani ya gari katika eneo la Eldoret nchini Kenya
Desemba 29, 2023
07:00 Jioni
Watu walio fariki Ku tokana na maporomoko ya udongo huko Bukavu wa Anja kuzikwa alahamisi hii huku mili zingine zikiendelea Ku tafutwa kwanye vifusi vya udongo