Raia wa mji wa Beni waandamana leo hii january 3,2025 kwaku pinga uvamizi wa jeshi la RWANDA na washirika wake wa M23. Hii ni baada ya mji wa Goma mji mkuu wa mkoa wa KIVU KASKAZINI kuangu mikononi mwa jeshi lwa rwanda RDF na waasi wa M23.
FEBRUARI 03, 2025
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio