Jeshi la Congo SADC na KIKOSI cha Umoja wa Matifa MONUSCO vimelazimika kutumia silaha nzito nzito na kuweka ulinzi mkali kwenye maeneo kadhaa kwa ajili ya ulinzi wa Mji wag Goma amba leo hii umetishiwa na waasi wa M23 ambao walichukuwa mji wa sake kwa saa za asubui na kembi ya kikosi cha SADC kilicheko Sake magharibi mwa mji wa Goma .
JANUARI 23, 2025
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio