Wasiwasi yaendelea kudhidi katika maeneo tofauti mkoani kivu Kaskazini na kusini hasa katika Miji ya Goma Na Bukavu baada ya waasi M23 kuudhibiti mji mdogo wa MINOVA; gavana wa kivu Kaskazini meja général PITER CIRIMWAMI aomba raia wa GOMA kutulia kwani serekali ya KINSHASA imechukua mikakati waku linda mji huo na raia.
JANUARI 22, 2025
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio