Raia wa Mjini wa KINSHASA mji mkuu ya jamhuri ya kidemokrasia ya Congo waliandamana hii jumanne january 28,2025 kuonesha niya yao yakuunga mkono jeshi la CONGO FARDC linalo kabiliana na jeshi la RWANDA mjini goma,huku ekulu ya balozi wa ufaransa,rwanda,Ubeljiji,marekana na Uganda zikichomwa moto.
JANUARI 28, 2025
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio