Mashirika ya kiraia na asasi zisizo za kiserikali mashariki mwa DRC yasema kutokuona mabadiliko yoyote tangu yamefanyika marekebisho ya viongozi wa kijeshi katika ngazi zote uku waasi wakizidi kuzibiti miji muimu Kivu kaskazini na kusini.
FEBRUARI 04, 2025
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio