Serikali za Kenya na Uganda zimeanzisha mpango wa pamoja kutatua masuala ya mipaka ili kuimarisha ushirikiano katika shughuli za mipakani na kukomesha usafirishaji wa silaha haramu, uhamiaji haramu na mizozo ya maliasili miongoni mwa jamii zinazoishi karibu na mipaka.
JANUARI 08, 2025
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio