Shirika la P DDRCS nchini DRC laomba wapiganaji wote wanao shika silaha kusalimisha silaha zao kwa shirika hilo ili warudi katika maisha ya kawaida ,Kapuku Bwabwa William msimamizi wa taasisi hiyo kwa sasa asema muda umefika kwa kujenga amani , hii ni baada ya kukutana na gavana wa Kijeshi Meja Generali PETER CIRIMWAMI Mjini Goma
NOVEMBA 26, 2024
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio