MTV Radio Jioni

Rais William Ruto ameagiza Wizara ya Uchukuzi na Kawi kufutilia mbali mikataba iliyopendekezwa na Kampuni ya Adani Group ya kutwaa miundomsingi ya nchi katika sekta ya nishati na usafiri wa anga. mikataba hiyo ni mojawapo ya maswala yaliyowapelekea wakenya kuandamana.

NOVEMBA 25, 2024
Border

| Germaine Hassan Kyahwere

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio