Rais William Ruto ameagiza Wizara ya Uchukuzi na Kawi kufutilia mbali mikataba iliyopendekezwa na Kampuni ya Adani Group ya kutwaa miundomsingi ya nchi katika sekta ya nishati na usafiri wa anga. mikataba hiyo ni mojawapo ya maswala yaliyowapelekea wakenya kuandamana.
NOVEMBA 25, 2024
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio