MTV Radio Jioni

Upinzani nchini jamhuri yakidemokrasia ya Congo ya pinga marekebesho ya katiba,hatua ambae ametangaza mwenyewe rais wa congo FÉLIX TSHISEKEDI huku wananchi wakiomba amani na usalama mashariki mwa nchi.

NOVEMBA 21, 2024
Border

| Germaine Hassan Kyahwere

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio