Wakaazi wa Vijiji vya Vutsorovya ,Alimbo wakimbilia katika Miji ya Kitsumbiro kuhufia mapigano makali kati ya M23 na jeshi la serikali FARDC ,kwenye vijiji vya Matembe .wakaazi wasema hali ni mbaya leo juma pili kwenye uwanja wa mapigano
DESEMBA 16, 2023
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio