MTV Radio Jioni

Wakaazi wa Vijiji vya Vutsorovya ,Alimbo wakimbilia katika Miji ya Kitsumbiro kuhufia mapigano makali kati ya M23 na jeshi la serikali FARDC ,kwenye vijiji vya Matembe .wakaazi wasema hali ni mbaya leo juma pili kwenye uwanja wa mapigano

DESEMBA 16, 2023
Border

| Germaine Hassan Kyahwere

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio