MTV Radio Jioni

Rais Mstaafu Wa Kenya Uhuru Kenyatta Amemshauri Rais William Ruto Kuwahusisha Wakenya Katika Shughuli Za Taifa, Ili Kuepuka Misukosuko Ya Kisiasa Inayoshuhudiwa. Wawili Hao Wamekutana Leo, Na Kujadili Maswala Muhimu Yanayolikumba Taifa.

DESEMBA 10, 2024
Border

| Tryphone Odace

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio