Rais Mstaafu Wa Kenya Uhuru Kenyatta Amemshauri Rais William Ruto Kuwahusisha Wakenya Katika Shughuli Za Taifa, Ili Kuepuka Misukosuko Ya Kisiasa Inayoshuhudiwa. Wawili Hao Wamekutana Leo, Na Kujadili Maswala Muhimu Yanayolikumba Taifa.
DESEMBA 10, 2024
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio