MTV Radio Jioni

Waziri Mkuu wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amedhamiria kuendelea kufikisha huduma za jamii ikiwemo Afya, maji, Umeme na Elimu katika maeneo yote nchini.

JULAI 08, 2024
Border

| Nadege Mulemba

Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV Radio

Rudi kwenye Radio