Siku tano ya mapigano wilayani Lubero wakaazi walio baki katika nyumba zao pa kaseghe ,Chivako ,Kataro waomba msaada wa chakula kwani wana hofu ya kufia nyumbani kwa ukosefu wa chakula kutokana na mapigano kati ya M23 na jeshi la serikali maeneo haya.
Wakati huo huo hali yaendelea kuwa ya wasi wasi katika mji mdogo wa KIRUMBA Magharibi mwa wilaya ya LUBERO Kivu kaskazini,huku raia waki hofia pia maisha yao kwa sababu ya mapigano makali yanayo endelea hadi sasa.
DESEMBA 06, 2024
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio