Marekani kupitia shirika la USAID ukiwa ni shiriaka la wananchi wa Marekani kwa ajili ya Maendeleo laanza miradi nyingi kwa ajili ya afia Kivu kaskazini ,ikiwemo ujenzi wa vyoo na kunishinikiza usafi wa mazingira kupitia maji safi.
DESEMBA 05, 2024
| Tryphone Odace
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio