Watu tisa wauawa na wengine nne kujiruhiwa,hii na matokea ya shambulizi jipya la watu wenye silaha wanao dhaniwa kua ADF katika usiku wakuamkia hii jumatatu december,4 2024 katika mji mdogo wa OICHA kijijini BAKILA TENAMBO takriban kilometa 30 na mji wa Beni.
DESEMBA 04, 2024
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio