Waakzi wanao kimbia vijiji vyao mbali mbali kusini mwa wilaya ya Lubero waomba mkuu wa jeshi la Congo FARDC kuweke kambi yake pa Lubero kufatalilia kwa karibu operesheni za kijeshi, wakaazi hawa wanao hifadhi jina zao wasema hali ya kiutu ni mbaya kwasasa.
JANUARI 03, 2025
| Germaine Hassan Kyahwere
Kando na haya, endelea kuskiliza matangazo zaidi kutoka MTV
Radio