DRC

Balozi wa Tanzania nchini Congo DRC muheshimiwa Saidi Juma Mshana apongeza Mradi wa Reli ya Umeme ambayo imezinduliwa leo Nchini Tanzania

AGOSTI 01, 2024
Border
news image

Balozi wa Tanzania nchini Congo DRC muheshimiwa Saidi Juma Mshana apongeza Mradi wa Reli ya Umeme ambayo imezinduliwa leo Nchini Tanzania ikiwa na umuhimu kwa mataifa ya Africa mashariki , kanda ya maziwa makuu na Africa.

Muheshimiwa Balozi Saidi Juma Mshana a⁠pongeza hata hivyo jitihada zinazofanywa na Marais wa Jamhuri ya ,Muungano wa TANZANIA ,URT, DRC na BURUNDI katika kuunganisha Nchi hizo na Ukanda wa Maziwa Makuu.

H.E. Ambassador Said Juma Mshana

Hii ikiwa nikuboresha na kukuza Miundombinu ikiwemo (SGR )Stand Reley Way ,iwapo mradi huo utakamilika utasaidia katika kusafirisha mizigo nawatu, Pamoja kurahisisha uwekezaji ,,Biasha ,na Masoko Pamoja kuunganisha wananchi mataifa hayo.

Muhimu Zaidi ikiwa ni kutatua changamoto ya ukosefu wa ajira kwa kundi ya vijana ,ambao wengi humaliza shule na kubaki nyumbani katika baadhi ya mataifa.

Mradi huo utasaidia ajira na saidia kuimarisha ⁠Hali ya amani na utulivu katika eneo la maziwa makuu na Africa kwa ujumla.

AM/MTV News DRC