DRC
Abiria Zaidi Ya Kumi Waokolewa Katika Ajali Mpya Ya Meli Kwenye Ziwa Kivu Mashariki Mwa Jamhuri Ya Kidemokrasia Ya Congo
Kwa mjibu ya vyanzo vyetu vina thibitisha ajali hio ikiwa ni pamoja na serikali ya mkoa wa Kivu Kusini mashariki mwa Congo,vyaonyesha kuwa ni mtumbwi moja uliokuwa ukitoka katika mji mdogo wa MINOVA kuelekea mji wa BUKAVU mji mkuu wa mkoa wa KIVU KUSINI ambao ulipinduka karibu na KASANYU, kijiji kilichoko katika wilaya la KALEHE jumapili oktoba 27,2024.